MAUZO POS Blog

Business tips, product updates, and success stories

Back to Home
Search
About

Stay updated with the latest business tips, product features, and success stories from MAUZO POS.

Artificial Intelligence Kifo cha Call Centers: Kwa nini "AI Agents" ndio dhahabu mpya Afrika Mashariki?
Kifo cha Call Centers: Kwa nini "AI Agents" ndio dhahabu mpya Afrika Mashariki?

Charles Chambila Feb 04, 2026 23 views

Ili upige pesa sasa hivi, lazima uelewe hii tofauti: Mwaka 2023 ulikuwa wa Generative AI (ChatGPT). Ulikuwa unaiomba ikuandikie shairi au email. Mwaka...

Read More
Uchumi Binafsi man in deep stress after losing capital
Hauna Gundu Katika Uwekezaji: Hii Ndiyo Sababu Kwenye Uwekezaji na Biashara Kila Ukiingia Unapata Hasara

Charles Chambila Dec 16, 2025 105 views

Kwenye ulimwengu wa uwekezaji, kuna kitu kinaitwa Risk Capital—hii ni pesa ambayo hata ikipotea yote leo, maisha yako ya msingi hayatasimama. Lakini...

Read More
Uchumi Binafsi Pensheni Sio Mpango wa Maisha Baada ya Kustaafu. Huo Mkono wa Dhabau Unapewa Ukistaafu ni Vumbi Inayopotea
Pensheni Sio Mpango wa Maisha Baada ya Kustaafu. Huo Mkono wa Dhabau Unapewa Ukistaafu ni Vumbi Inayopotea

Charles Chambila Dec 09, 2025 68 views

Pesa za pensheni sio utajiri wa ghafla, ni kwa ajili ya kukutunza mpaka pale unapoingia kaburini. Kutoka kwenye cheo cha kuitwa meneja au boss au mkur...

Read More
Uwekezaji Mpango Wangu wa DSE: Namna Natumia Mtaji wa Tsh. 100,000 kuwa Mashine ya Faida
Mpango Wangu wa DSE: Namna Natumia Mtaji wa Tsh. 100,000 kuwa Mashine ya Faida

Charles Chambila Dec 06, 2025 187 views

DSE ni soko ambalo LIQUIDITY (Uwezo wa kuuza haraka) ndiyo kila kitu. Tumeona hata katika Vertex ETF hivi karibuni namna ambavyo wanunuzi na wauzaji h...

Read More
Uwekezaji Uwekezaji Katika Hisa za Marekani na Kenya Ukiwa Tanzania na Nchi Nyingine Duniani
Uwekezaji Katika Hisa za Marekani na Kenya Ukiwa Tanzania na Nchi Nyingine Duniani

Charles Chambila Nov 17, 2025 443 views

Hisa app ni Fintech Solution inayokuwezesha kuwekeza katika masoko ya Hisa ya Marekani na Kenya hata ukiwa na kiasi cha Fedha cha Tsh. 3,000....

Read More
Uwekezaji Jenga Mfumo wa Kipato (Dividend Machine) Kwa Kutunza Tsh. 50,000 Kila Mwezi
Jenga Mfumo wa Kipato (Dividend Machine) Kwa Kutunza Tsh. 50,000 Kila Mwezi

Charles Chambila Nov 17, 2025 268 views

Katika ulimwengu wa uwekezaji Muda (Time) wako wa kuwa na umiliki sokoni ni bora kuliko kupatia muda (timing) wa kununua hisa za kampuni fulani. Anza ...

Read More
Uwekezaji Siri ya Kukuza Pesa. Namna Matajiri Wanaacha Pesa Izae Pesa (Nguvu ya Compounding)
Siri ya Kukuza Pesa. Namna Matajiri Wanaacha Pesa Izae Pesa (Nguvu ya Compounding)

Charles Chambila Nov 15, 2025 177 views

Compounding sio siri ya matajiri; ni nidhamu ambayo matajiri wanaitumia. Anza leo, hata kama unaweka kidogo. Jipe muda na jikaze usile faida. Baada ya...

Read More
Uwekezaji Fahamu Jinsi Msimu wa Sikukuu za Christmas na Ada za Shule Unavyoathiri Bei za Hisa ndani ya DSE
Fahamu Jinsi Msimu wa Sikukuu za Christmas na Ada za Shule Unavyoathiri Bei za Hisa ndani ya DSE

Charles Chambila Nov 14, 2025 268 views

Ukiangalia takwimu za soko kwa miaka mitano iliyopita, utaona kuna kitu fulani kinajirudia kila wakati kati ya mwezi Novemba na Februari. Tunaweza kui...

Read More
Uwekezaji Nuru kwa Wawekezaji Tanzania VIS-ETF Vs Inuka Fund
Nuru kwa Wawekezaji Tanzania VIS-ETF Vs Inuka Fund

Charles Chambila Nov 12, 2025 375 views

Kwa mara ya kwanza historia imeandikwa Tanzania baada ya uzinduzi wa Exchange Traded Fund (ETF) ya kwanza kuzinduliwa, mfuko unaoitwa VIS-ETF. Wakati ...

Read More
Biashara Financial Fundamental Ratios na Umuhimu Wake katika Uchambuzi wa Fedha
Financial Fundamental Ratios na Umuhimu Wake katika Uchambuzi wa Fedha

Charles Chambila Nov 11, 2025 450 views

Katika ulimwengu wa biashara na uwekezaji, financial fundamental ratios ni zana muhimu sana za kufahamu hali ya kampuni kifedha. Kwa maneno rahisi, hi...

Read More